Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Saturday, January 25, 2014

Ratiba ya leo mikutano ya M4C- Operation Pamoja Daima

Ratiba ya leo mikutano ya M4C- OPD



Timu ya Makamu Mwenyekiti Said Issa Mohamed, Godbless Lema na John Mnyika 

Baada ya jana kupata mapokezi ya shamrashamra na maandamano makubwa ya wananchi wa Kigoma, leo itakuwa na mikutano maeneo ya;

Kasulu mjini, Manyovu (Kilelema) na Ngara (Kagera).

Timu ya Katibu Mkuu Dkt. Slaa;

Mbeya mjini, Mbarali, Ilembula (Waging'ombe, Makambako na Njombe mjini.

Timu ya Mwanasheria Mkuu Lisu na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Heche

Mto wa Mbu, Karatu, Mbulu, Katesh na Babati


M4C- Operesheni Pamoja Daima ndiyo habari ya mjini na vijijini. Tutakwenda pamoja daima na CHADEMA.

No comments: