Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Sunday, January 26, 2014

Operation Pamoja Daima: Kada wa CCM miaka 80 atoa kiwanja kwa CHADEMA Chimala, Mbarali


      Kada wa CCM kwa maisha yake yote (miaka 80) Mzee Mwang'ombe anayeishi Chimala, Mbarali, ametoa kiwanja kwaajili ya tawi la CHADEMA kwa vijana wa bodaboda.

Inaaminika kada huyo bado hajarudisha kadi ya CCM lakini anaamini CCM imepoteza misingi na inahitaji mbadala.

Yeye anasema siasa amekaa pembeni, lakini anatoa maisha yake yaliyo bakia, misaada na mawazo kwa watu na vyama vyenye muelekeo mzuri wa kulikomboa Taifa letu alipendalo kwa dhati " TANZANIA"


Baada ya mkutano wa Operation Pamoja Daima kuisha viwanja vya stand mpya kijiji cha Chimala. Wana MBARALI walitembea zaidi ya kilometer moja kwaajili ya ufunguzi wa tawi la bodaboda stend ya zamani. Pichani maelfu ya watu wa Chimala na vitongoji vyake wakishuhudia ufunguzi huo ulio ongozwa na Dr. Na Mh. Mbilinyi aka Sugu




No comments: