1) ISSA MAGAMBO kitongoji cha Mulugunga
2) NESTORY SESHAHU lunyonga
3) MAYABAGABO kitongoji cha Kumutukula katibu wa wilaya Cuf
4) Mgombea CCM wa ubunge kura ya maoni Dr. Bujari kapokelewa rasmi leo
5) JENIROZA BARUNGULA wanawake wilaya NCCR
6) Muhoza Mbunda Katibu kata CCM (mjini) nk.
Mleta habari anatumia simu ya mchina na ni vigumu kutaja wote, kadi zilizorejeshwa ni mamia kwa mamia, mtaona kwenye mitandao mingine naamini, huwezi kuuita mkutano wa hadhara bali ni sherehe ya mavuno ya kufungia mwaka.
No comments:
Post a Comment