Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Monday, June 17, 2013

CHADEMA Yazidi kung'ara


       Sasa ni dhahiri CCM Imezidiwa.Matokeo ya Uchaguzi wa Kata mbalimbali uliofanyika Jumapili yamepeleka kilio kikubwa CCM. Ni kweli pia kwamba kwa Idadi ya Kata CCM imepata kata nyingi Lakini ikizidiwa kwa jumla ya kura na Chadema. Ikumbukwe pia kuwa idadi kubwa ya wafuasi wa Chadema ambao ni vijana bado hawajaandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura.

      Ni dhahiri Chadema sasa inasambaa kama moto wa nyika na matumaini ya kukamata dola uchaguzi mkuu ujao yanazidi kuongezeka. Yafuatayo ni matokeo ya Kata 14 tuliyoyapata mpaka sasa ambayo yanaonyesha kura za Jumla Chadema imeizidi CCM kwa kura 1859.

ISEKE-SINGIDA
CCM 791
CDM 831

NYAMPULUKANO-SENGEREMA
CCM1088
CDM 1483

DONGOBESH-MBULU
CCM 974
CDM 1558

BASHNET-BABATI
CCM 1130
CDM 2008

IYELA-MBEYA
CCM 1163
CDM 1918

IFAKARA-KILOMBERO
CCM 3723
CDM 4353

MINEPA-ULANGA
CCM 1164
CDM 1004

STESHENI-NACHINGWEA
CCM 806
CDM 353

NGANGANGE-KILOLO
CCM 600
CDM 223

GENGE-MUHEZA
CCM 347
CDM 326

TINGENI-MUHEZA
CCM 363
CDM 244

MANCHILA-SERENGETI
CCM 672
CDM 623

MASANZE-KILOSA
CCM 833
CDM 623

RUNZEWE MASHARIKI-SENGEREMA
CCM 604
CDM 570

JUMLA KUU KATA 14
CCM 14258
CDM 16117

Source: Molemo (June 2013). CHADEMA Yazidi kung'ara. Retrieved from Jamii Forums

No comments: