10. Rais wa Jamhuri wa Muungano wa
Tanzania wakishirikiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi
Zanzibar wamekamilisha uteuzi wa wajumbe 201. Kabla ya kutaja orodha ya
wajumbe walioteuliwa, napenda kufafanua mambo yafuatayo:
(a) Uteuzi umezingatia ushiriki wa
watu wa rika zote, yaani vijana, watu wazima na wazee. Kwa
ajili hiyo, wajumbe vijana yaani wenye umri wa kati miaka 22-35, ni
wajumbe 35. Wajumbe wenye umri wa kati, yaani miaka 36-64, ni 145;
na wajumbe wazee, yaani wenye umri wa miaka 65 na kuendelea ni 21.
(b) Sheria inataka kuwepo na uwiano
sawa kwa ajumbe wanawake na wanaume. Jambo hili limezingatiwa ipasavyo, na
katika orodha hii wajumbe wanawake ni 100 na wanaume 101. Kwa
vile, haiwezekani kuwa na nusu mtu, ndiyo maana idadi ya wajumbe wanaume ni 101.
(c) Uwakilishi wa vyama vya siasa
ambao unahitaji kila chama chenye usajili wa kudumu kiwe na wajumbe wawili
umezingatiwa. Kwa kuwa kuna vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu 21, jumla
ya wajumbe 42 wamechaguliwa kwa maana ya kuwa wajumbe wawili wameteuliwa kutoka
katika kila chama.
Baada ya maelezo hayo ya
utangulizi, ifuatayo ndiyo orodha ya wajumbe 201 wa Bunge Maalum la
Katiba waliobahatika kuteuliwa:
TAASISI ZISIZOKUWA ZA KISERIKALI-
(WAJUMBE 20)
|
|
TANZANIA BARA (13)
|
|
1. Magdalena Rwebangira
|
2. Kingunge Ngombale Mwiru
|
3. Asha D. Mtwangi
|
4. Maria Sarungi Tsehai
|
5. Paul Kimiti
|
6. Valerie N. Msoka
|
7. Fortunate Moses Kabeja
|
8. Sixtus Raphael Mapunda
|
9. Elizabeth Maro Minde
|
10. Happiness Samson Sengi
|
11. Evod Herman Mmanda
|
12. Godfrey Simbeye
|
13. Mary Paul Daffa
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (7)
|
|
1. Idrissa Kitwana Mustafa
|
2. Siti Abbas Ali
|
3. Abdalla Abass Omar
|
4. Salama Aboud Talib
|
5. Juma Bakari Alawi
|
6. Salma Hamoud Said
|
7. Adila Hilali Vuai
|
|
TAASISI ZA KIDINI- (WAJUMBE 20)
|
|
TANZANIA BARA (13)
|
|
1. Tamrina Manzi
|
2. Olive Damian Luwena
|
3. Shamim Khan
|
4. Mchg. Ernest Kadiva
|
5.Sheikh Hamid Masoud Jongo
|
6.Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald
Leo Mtetemela
|
7. Magdalena Songora
|
8. Hamisi Ally Togwa
|
9.AskofuAmos J. Muhagachi
|
10. Easter Msambazi
|
11. Mussa Yusuf Kundecha
|
12. Respa Adam Miguma
|
13. Prof. Costa Ricky Mahalu
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (7)
|
|
1.Sheikh Thabit Nouman Jongo
|
2. Suzana Peter Kunambi
|
3. Sheikh Nassoro Mohammed
Ibrahimu
|
4. Fatma Mohammed Hassan
|
5. Louis Majaliwa
|
6. Yasmin Yusufali E. H alloo
|
7. Thuwein Issa Thuwein
|
|
VYAMA VYOTE VYA SIASA
VYENYE USAJILI WA KUDUMU –
(WAJUMBE 42)
|
|
TANZANIA BARA (28)
|
|
1. Hashim Rungwe Spunda
|
2. Thomas Magnus Mgoli
|
3. Rashid Hashim Mtuta
|
4. Shamsa Mwangunga
|
5. Yusuf S. Manyanga
|
6. Christopher Mtikila
|
7. Bertha Ng’angompata
|
8. Suzan Marwa
|
9. Dominick Abraham Lyamchai
|
10. Mbwana Salum Kibanda
|
11. Peter Kuga Mziray
|
12. Isaac Manjoba Cheyo
|
13. Dr. Emmanuel John Makaidi
|
14. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
|
15. Modesta Kizito Ponera
|
16. Prof. Abdallah Safari
|
17. Salumu Seleman Ally
|
18. James Kabalo Mapalala
|
19. Mary Oswald Mpangala
|
20. Mwaka Lameck Mgimwa
|
21. Nancy S. Mrikaria
|
22. Nakazael Lukio Tenga
|
23. Fahmi Nasoro Dovutwa
|
24. Costantine Benjamini Akitanda
|
25. Mary Moses Daudi
|
26. Magdalena Likwina
|
27. John Dustan Lifa Chipaka
|
28. Rashid Mohamed Ligania Rai
|
TANZANIA ZANZIBAR (14)
|
|
1. Ally Omar Juma
|
2. Vuai Ali Vuai
|
3. Mwanaidi Othman Twahir
|
4. Jamila Abeid Saleh
|
5. Mwanamrisho Juma Ahmed
|
6. Juma Hamis Faki
|
7. Tatu Mabrouk Haji
|
8. Fat –Hiya Zahran Salum
|
9. Hussein Juma
|
10. Zeudi Mvano Abdullahi
|
11. Juma Ally Khatibu
|
12. Haji Ambar Khamis
|
13. Khadija Abdallah Ahmed
|
14. Rashid Yussuf Mchenga
|
TAASISI ZA ELIMU- (WAJUMBE 20)
|
|
TANZANIA BARA
|
|
1. Dr. Suzan Kolimba
|
2. Prof. Esther Daniel Mwaikambo
|
3. Dr. Natujwa Mvungi
|
4. Prof. Romuald Haule
|
5. Dr. Domitila A.R. Bashemera
|
6. Dr. Jasmine Bendantunguka
Tiisekwa
|
7. Prof. Bernadeta Kilian
|
8. Teddy Ladislaus Patrick
|
9. Dr. Francis Michael
|
10. Prof. Remmy J. Assey
|
11. Dr. Tulia Ackson
|
12. Dr. Ave Maria Emilius
Semakafu
|
13. Hamza Mustafa Njozi
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (7)
|
|
1. Makame Omar Makame
|
2. Fatma Hamid Saleh
|
3. Dr. Aley Soud Nassor
|
4. Layla Ali Salum
|
5. Dkt. Mwinyi Talib Haji
|
6. Zeyana Mohamed Haji
|
7. Ali Ahmed Uki
|
|
WATU WENYE ULEMAVU-(WAJUMBE 20)
|
|
TANZANIA BARA (13)
|
|
1. Zuhura Musa Lusonge
|
2. Frederick Msigala
|
3. Amon Anastaz Mpanju
|
4. Bure Zahran
|
5. Edith Aron Dosha
|
6. Vincent Venance Mzena
|
7. Shida Salum Mohamed
|
8. Dr. Henry Mwizengwa Nyamubi.
|
9. Elias Msiba Masamaki
|
10. Faustina Jonathan Urassa
|
11. Doroth Stephano Malelela
|
12. John Josephat Ndumbaro
|
13. Ernest Njama Kimaya
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (7)
|
|
1. Haidar Hashim Madeweyya
|
2. Alli Omar Makame
|
3. Adil Mohammed Ali
|
4. Mwandawa Khamis Mohammed
|
5. Salim Abdalla Salim
|
6. Salma Haji Saadat
|
7. Mwantatu Mbarak Khamis
|
|
VYAMA VYA WAFANYAKAZI-(WAJUMBE
19)
|
|
TANZANIA BARA (13)
|
|
1. Honorata Chitanda
|
2. Dr. Angelika Semike
|
3. Ezekiah Tom Oluoch
|
4. Adelgunda Michael Mgaya
|
5. Dotto M. Biteko
|
6. Mary Gaspar Makondo
|
7. Halfani Shabani Muhogo
|
8. Yusufu Omari Singo
|
9. Joyce Mwasha
|
10. Amina Mweta
|
11. Mbaraka Hussein Igangula
|
12. Aina Shadrack Massawe
|
13. Lucas Charles Malunde
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (6)
|
|
1. Khamis Mwinyi Mohamed
|
2. Jina Hassan Silima
|
3. Makame Launi Makame
|
4. Asmahany Juma Ali
|
5. Mwatoum Khamis Othman
|
6. Rihi Haji Ali
|
VYAMA
VINAVYOWAKILISHAWAFUGAJI-(WAJUMBE 10)
|
|
TANZANIA BARA (7)
|
|
1. William Tate Olenasha
|
2. Makeresia Pawa
|
3. Mabagda Gesura Mwataghu
|
4. Doreen Maro
|
5. Magret Nyaga
|
6. Hamis Mnondwa
|
7. Ester Milimba Juma
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (3)
|
|
1. Said Abdalla Bakari
|
2. Mashavu Yahya
|
3. Zubeir Sufiani Mkanga
|
|
VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAVUVI
–(WAJUMBE 10)
|
|
TANZANIA BARA (7)
|
|
1. Hawa A. Mchafu
|
2. Rebecca Masato
|
3. Thomas Juma Minyaro
|
4. Timtoza Bagambise
|
5. Tedy Malulu
|
6. Rebecca Bugingo
|
7. Omary S. Husseni
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (3)
|
|
1. Waziri Rajab
|
2. Issa Ameir Suleiman
|
3. Mohamed Abdallah Ahmed
|
VYAMA VYAWAKULIMA-(WAJUMBE 20)
|
|
TANZANIA BARA (13)
|
|
1. Agatha Harun Senyagwa
|
2. Veronica Sophu
|
3. Shaban Suleman Muyombo
|
4. Catherine Gabriel Sisuti
|
5. Hamisi Hassani Dambaya
|
6. Suzy Samson Laizer
|
7. Dr. Maselle Zingura Maziku
|
8. Abdallah Mashausi
|
9. Hadijah Milawo Kondo
|
10. Rehema Madusa
|
11. Reuben R. Matango
|
12. Happy Suma
|
13. Zainab Bakari Dihenga
|
|
TANZANIA ZANZIBAR (7)
|
|
1. Saleh Moh’d Saleh
|
2. Biubwa Yahya Othman
|
3. Khamis Mohammed Salum
|
4. Khadija Nassor Abdi
|
5. Fatma Haji Khamis
|
6. Asha Makungu Othman
|
7. Asya Filfil Thani
|
|
WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA –
(WAJUMBE 20)
|
|
TANZANIA BARA (14)
|
|
1. Dr. Christina Mnzava
|
2. Paulo Christian Makonda
|
3. Jesca Msambatavangu
|
4. Julius Mtatiro
|
5. Katherin Saruni
|
6. Abdallah Majura Bulembo
|
7. Hemedi Abdallah Panzi
|
8. Dr. Zainab Amir Gama
|
9. Hassan Mohamed Wakasuvi
|
10. Paulynus Raymond Mtendah
|
11. Almasi Athuman Maige
|
12. Pamela Simon Massay
|
13. Kajubi Diocres Mukajangwa
|
14. Kadari Singo
|
TANZANIA ZANZIBAR (6)
|
|
1. Yussuf Omar Chunda
|
2. Fatma Mussa Juma
|
3. Prof. Abdul Sheriff
|
4. Amina Abdulkadir Ali
|
5. Shaka Hamdu Shaka
|
6. Rehema Said Shamte
|
Imetolewa
na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar
es Salaam.
7 Februari, 2014
No comments:
Post a Comment