Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Friday, February 7, 2014

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

10. Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania wakishirikiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Zanzibar wamekamilisha uteuzi wa wajumbe 201. Kabla ya kutaja orodha ya wajumbe walioteuliwa, napenda kufafanua mambo yafuatayo:

(a) Uteuzi umezingatia ushiriki wa watu wa rika zote, yaani vijana, watu wazima na wazee. Kwa ajili hiyo, wajumbe vijana yaani wenye umri wa kati miaka 22-35, ni wajumbe 35. Wajumbe wenye umri wa kati, yaani miaka 36-64, ni 145; na wajumbe wazee, yaani wenye umri wa miaka 65 na kuendelea ni 21.

(b) Sheria inataka kuwepo na uwiano sawa kwa ajumbe wanawake na wanaume. Jambo hili limezingatiwa ipasavyo, na katika orodha hii wajumbe wanawake ni 100 na wanaume 101. Kwa vile, haiwezekani kuwa na nusu mtu, ndiyo maana idadi ya wajumbe wanaume ni 101.

(c) Uwakilishi wa vyama vya siasa ambao unahitaji kila chama chenye usajili wa kudumu kiwe na wajumbe wawili umezingatiwa. Kwa kuwa kuna vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu 21, jumla ya wajumbe 42 wamechaguliwa kwa maana ya kuwa wajumbe wawili wameteuliwa kutoka katika kila chama.

Baada ya maelezo hayo ya utangulizi, ifuatayo ndiyo orodha ya wajumbe 201 wa Bunge Maalum la Katiba waliobahatika kuteuliwa:


TAASISI ZISIZOKUWA ZA KISERIKALI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Magdalena Rwebangira
2. Kingunge Ngombale Mwiru
3. Asha D. Mtwangi
4. Maria Sarungi Tsehai
5. Paul Kimiti
6. Valerie N. Msoka
7. Fortunate Moses Kabeja
8. Sixtus Raphael Mapunda
9. Elizabeth Maro Minde
10. Happiness Samson Sengi
11. Evod Herman Mmanda
12. Godfrey Simbeye
13. Mary Paul Daffa


TANZANIA ZANZIBAR (7)


1. Idrissa Kitwana Mustafa
2. Siti Abbas Ali
3. Abdalla Abass Omar
4. Salama Aboud Talib
5. Juma Bakari Alawi
6. Salma Hamoud Said
7. Adila Hilali Vuai



TAASISI ZA KIDINI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Tamrina Manzi
2. Olive Damian Luwena
3. Shamim Khan
4. Mchg. Ernest Kadiva
5.Sheikh Hamid Masoud Jongo
6.Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald Leo Mtetemela
7. Magdalena Songora
8. Hamisi Ally Togwa
9.AskofuAmos J. Muhagachi
10. Easter Msambazi
11. Mussa Yusuf Kundecha
12. Respa Adam Miguma
13. Prof. Costa Ricky Mahalu


TANZANIA ZANZIBAR (7)
1.Sheikh Thabit Nouman Jongo
2. Suzana Peter Kunambi
3. Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu
4. Fatma Mohammed Hassan
5. Louis Majaliwa
6. Yasmin Yusufali E. H alloo
7. Thuwein Issa Thuwein



VYAMA VYOTE VYA SIASA
VYENYE USAJILI WA KUDUMU – (WAJUMBE 42)
TANZANIA BARA (28)
1. Hashim Rungwe Spunda
2. Thomas Magnus Mgoli
3. Rashid Hashim Mtuta
4. Shamsa Mwangunga
5. Yusuf S. Manyanga
6. Christopher Mtikila
7. Bertha Ng’angompata
8. Suzan Marwa
9. Dominick Abraham Lyamchai
10. Mbwana Salum Kibanda
11. Peter Kuga Mziray
12. Isaac Manjoba Cheyo
13. Dr. Emmanuel John Makaidi
14. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
15. Modesta Kizito Ponera
16. Prof. Abdallah Safari
17. Salumu Seleman Ally
18. James Kabalo Mapalala
19. Mary Oswald Mpangala
20. Mwaka Lameck Mgimwa
21. Nancy S. Mrikaria
22. Nakazael Lukio Tenga
23. Fahmi Nasoro Dovutwa
24. Costantine Benjamini Akitanda
25. Mary Moses Daudi
26. Magdalena Likwina
27. John Dustan Lifa Chipaka
28. Rashid Mohamed Ligania Rai

TANZANIA ZANZIBAR (14)

1. Ally Omar Juma

2. Vuai Ali Vuai
3. Mwanaidi Othman Twahir
4. Jamila Abeid Saleh
5. Mwanamrisho Juma Ahmed
6. Juma Hamis Faki
7. Tatu Mabrouk Haji
8. Fat –Hiya Zahran Salum
9. Hussein Juma
10. Zeudi Mvano Abdullahi
11. Juma Ally Khatibu
12. Haji Ambar Khamis
13. Khadija Abdallah Ahmed
14. Rashid Yussuf Mchenga

TAASISI ZA ELIMU- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA
1. Dr. Suzan Kolimba
2. Prof. Esther Daniel Mwaikambo
3. Dr. Natujwa Mvungi
4. Prof. Romuald Haule
5. Dr. Domitila A.R. Bashemera
6. Dr. Jasmine Bendantunguka Tiisekwa
7. Prof. Bernadeta Kilian
8. Teddy Ladislaus Patrick
9. Dr. Francis Michael
10. Prof. Remmy J. Assey
11. Dr. Tulia Ackson
12. Dr. Ave Maria Emilius Semakafu
13. Hamza Mustafa Njozi


TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Makame Omar Makame
2. Fatma Hamid Saleh
3. Dr. Aley Soud Nassor
4. Layla Ali Salum
5. Dkt. Mwinyi Talib Haji
6. Zeyana Mohamed Haji
7. Ali Ahmed Uki



WATU WENYE ULEMAVU-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Zuhura Musa Lusonge
2. Frederick Msigala
3. Amon Anastaz Mpanju
4. Bure Zahran
5. Edith Aron Dosha
6. Vincent Venance Mzena
7. Shida Salum Mohamed
8. Dr. Henry Mwizengwa Nyamubi.
9. Elias Msiba Masamaki
10. Faustina Jonathan Urassa
11. Doroth Stephano Malelela
12. John Josephat Ndumbaro
13. Ernest Njama Kimaya

TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Haidar Hashim Madeweyya
2. Alli Omar Makame
3. Adil Mohammed Ali
4. Mwandawa Khamis Mohammed
5. Salim Abdalla Salim
6. Salma Haji Saadat
7. Mwantatu Mbarak Khamis


VYAMA VYA WAFANYAKAZI-(WAJUMBE 19)
TANZANIA BARA (13)
1. Honorata Chitanda
2. Dr. Angelika Semike
3. Ezekiah Tom Oluoch
4. Adelgunda Michael Mgaya
5. Dotto M. Biteko
6. Mary Gaspar Makondo
7. Halfani Shabani Muhogo
8. Yusufu Omari Singo
9. Joyce Mwasha
10. Amina Mweta
11. Mbaraka Hussein Igangula
12. Aina Shadrack Massawe
13. Lucas Charles Malunde


TANZANIA ZANZIBAR (6)
1. Khamis Mwinyi Mohamed
2. Jina Hassan Silima
3. Makame Launi Makame
4. Asmahany Juma Ali
5. Mwatoum Khamis Othman
6. Rihi Haji Ali


VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAFUGAJI-(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1. William Tate Olenasha
2. Makeresia Pawa
3. Mabagda Gesura Mwataghu
4. Doreen Maro
5. Magret Nyaga
6. Hamis Mnondwa
7. Ester Milimba Juma


TANZANIA ZANZIBAR (3)
1. Said Abdalla Bakari
2. Mashavu Yahya
3. Zubeir Sufiani Mkanga



VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAVUVI –(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1. Hawa A. Mchafu
2. Rebecca Masato
3. Thomas Juma Minyaro
4. Timtoza Bagambise
5. Tedy Malulu
6. Rebecca Bugingo
7. Omary S. Husseni


TANZANIA ZANZIBAR (3)
1. Waziri Rajab
2. Issa Ameir Suleiman
3. Mohamed Abdallah Ahmed



VYAMA VYAWAKULIMA-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Agatha Harun Senyagwa
2. Veronica Sophu
3. Shaban Suleman Muyombo
4. Catherine Gabriel Sisuti
5. Hamisi Hassani Dambaya
6. Suzy Samson Laizer
7. Dr. Maselle Zingura Maziku
8. Abdallah Mashausi
9. Hadijah Milawo Kondo
10. Rehema Madusa
11. Reuben R. Matango
12. Happy Suma
13. Zainab Bakari Dihenga


TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Saleh Moh’d Saleh
2. Biubwa Yahya Othman
3. Khamis Mohammed Salum
4. Khadija Nassor Abdi
5. Fatma Haji Khamis
6. Asha Makungu Othman
7. Asya Filfil Thani



WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA – (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (14)
1. Dr. Christina Mnzava
2. Paulo Christian Makonda
3. Jesca Msambatavangu
4. Julius Mtatiro
5. Katherin Saruni
6. Abdallah Majura Bulembo
7. Hemedi Abdallah Panzi
8. Dr. Zainab Amir Gama
9. Hassan Mohamed Wakasuvi
10. Paulynus Raymond Mtendah
11. Almasi Athuman Maige
12. Pamela Simon Massay
13. Kajubi Diocres Mukajangwa
14. Kadari Singo

TANZANIA ZANZIBAR (6)
1. Yussuf Omar Chunda
2. Fatma Mussa Juma
3. Prof. Abdul Sheriff
4. Amina Abdulkadir Ali
5. Shaka Hamdu Shaka
6. Rehema Said Shamte


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
7 Februari, 2014

No comments: