Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Tuesday, November 11, 2014

KATIBU WA CHADEMA DMV, USA, ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CHADEMA TANZANIA

Katibu wa CHADEMA DMV, USA, Liberatus Mwang'ombe amefanya ziara ya kutembelea makao makuu ya CHADEMA jijini Dar Es Salaam. Kwenye ziara yake aliweza kufanya mkutano na Dr. Wilbrod Slaa na mratibu wa mambo ya wabunge CHADEMA, John Mrema. Pia Ndg. Liberatus alipata fursa ya kujadili changamoto zinazo wakabili waTanzania kwa ujumla na mbinu za kukabiliana nazo. Zaidi walijadili namna ya kutatua changamoto hizo na kuhakikisha Tanzania inakuwa ya waTanzaia na sio watu wachache.
 Juu na chini; Katibu CHADEMA, DMV, USA, Liberatus Bagasa Mwang'ombe (aliye simama) akiwa na katibu Mkuu CHADEMA, Dr. Slaa walipo kutana makao makuu
 Juu na Chini; Dr. Slaa na Liberatus Mwang'ombe wakikaa kwaajili ya picha na majadiliano


No comments: