Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Friday, February 28, 2014

PICHA: KINACHO ENDELEA JIMBONI KALENGA, CCM NA MABASI, CHADEMA NA WATU


Mkazi wa kijiji cha Tosamaganga, akitembela njiani akiwa ameshikilia bango lenye picha ya mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega, 


Juu na chini Diwani mstaafu kuoitia Chama Cha Mapinduzi tangu mwaka 1982, Thomas Masangula, akiwa ameshika bango lenye picha na mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakati wa mkutano wa kampeni za chama hicho, uliofanyika katika kijiji cha Kihanga jana

Moja ya mabasi yaliyokuwa yakisomba wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi, kutika sehemu mbalimbali likiwa njiani kueleka wafuasi hao katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za chama hicho, katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa uliofanyika jana.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Tanangozi, ikiwa ni sehemu ya kampeni za chama hicho za uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga juzi.


Moja ya mabasi yaliyokuwa yakisomba wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi, kutika sehemu mbalimbali likiwa njiani kueleka wafuasi hao katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za chama hicho, katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa uliofanyika jana.

No comments: