Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Friday, February 28, 2014

Kalenga: Moja ya hila ya kukusanya vitambulisho vya kupigia kura

Hii ni moja ya mbinu tulizozibaini ambazo zinatumika kukusanya vitambulisho vya kupigia kura. Tangazo hili la vocha za mbolea ya ruzuku lilikuwa limebandikwa kwenye ofisi ya Mtendaji wa Kijiji cha Igula (just a case study), ni hali ambayo iko maeneo mengi jimboni Kalenga tangu uchaguzi ulipotangazwa. Mgombea Tendega Grace amekuwa akilikemea hilo baada ya wananchi kumpatia malalamiko yao.



No comments: