Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Tuesday, January 21, 2014

NEWS ALERT: M4C "Operation Pamoja Daima"

CHADEMA kuanzia kesho inafanya operation kubwa ya nchi nzima kwa muda wa wiki mbili. Operation hii itakuwa na CHOPPER tatu kwa mpigo kwenye kanda 8 za Tanganyika.

Kikosi cha kwanza kitakuwa cha Mwenyekiti, Kikosi cha pili kitakuwa cha katibu Mkuu na Kikosi cha tatu kitakuwa cha wabunge.

Wakati huo huo kutakuwa na Kikosi cha ardhini chenye wabunge na maafisa wa makao makuu.

WE REPORT, YOU DECIDE

No comments: