Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Tuesday, January 21, 2014

NEWS ALERT: CHADEMA Kuanza Mchakato wa KATIBA, Helkopta 3 Kutumika

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe ametangaza LEO kuanza kwa ziara Pamoja Daima yenye lengo la kuwaandaa Wananchi kushiriki kikamilifu kwenye Mchakato wa Katiba na kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza watu kujiandikisha.


Akizungumza na Waadishi wa Habari jijini Dar es Salaam LEO katika Mkao Kuu ya chama hicho, Mbowe amesema kuwa operesheni au shughuli hiyo itaongozwa na timu tatu zitakazoanzia mikoa ya Mwanza, Ruvuma na Tanga.
Mwenyekiti huyo amesema pia ziara hiyo itakuwa ni ya wiki mbili na siku zinaweza kuongezeka kadiri itakavyohitajika.



"Katiba Mpya ni lazima na kama haitapatikana kwa utaratibu uliowekwa kwa mapenzi tu ya Rais na Wabunge wachache wa CCM, Watanzania wataitafuta Katiba Mpya kwa utaratibu mwigine,"amesema.

No comments: