Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Sunday, January 19, 2014

Morogoro Tungi Chedema Imeanza Kampeni kwa Kukubalika sana

Pichani chini ni mkutano wa ufunguzi wa CHADEMA Morogoro ukianza kwa kishindo, kwa mahudhurio ambayo CCM hawajawahi kupata siku za karibuni. Mhe. Juma Tembo, ambaye ni mgombea wa udiwani kwa tiketi ya CHADEMA alionekana kulimudu jukwaa na kusababisha nderemo na vifijo kwa watu wa Tungi, Tubuyu, ambao waliahidi kumpatia kura zote. Mpaka sasa CCM hawajaanza kampeni. Kamanda wa Anga Mhe. Mbowe anategemea kutua na Chopa tarehe 22, Kata hii itatoa taswira kwa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.






Picha na habari; Cummunist/JF

No comments: