Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa akisalimiana na mbunge wa zamani wa jimbo la Bukene (CCM), Steven Kahumba, baada ya mkutano wa hadhara, uliofanyika Bukene juzi.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akikabidhi kadi ya chama hicho kwa mmoja wa wakazi wa kijiji cha Ngw'aluzwilo katika Kata ya Lusu jimbo la Nzega, baada ya mkutani wa hadhara kijiji ni hapo jana, akiwa katika ziara yake ya kujenga chama.

Hotuba ikiendelea

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, akimkabidhi kadi ya uawanachama wa chama hicho mmoja wa wakazi wa kijiji cha Ngw'aluzwilo, baada ya mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa chama hDk. Willibrod Slaa jana.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa mji wa Nzega, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Setendi jana, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kujenga chama
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akikumbatiana na mbunge wa zamani wa jimbo la Bukene mkoani Tabora, Steven Kahumba, baada ya mkutano wa hadhra wa kujenga chama uliofanyika katika mji wa Bukene juzi.
No comments:
Post a Comment