Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Thursday, October 17, 2013

JUA HAKI ZAKO ;Katiba ya Jamuhuri wa Muungano Tanzania ipo vizuri sana kwenye haya


JUA HAKI ZAKO ;Katiba ya Jamuhuri wa Muungano Tanzania ipo vizuri sana kwenye haya, lakini serikali/utawala umekua ukikiuka HAKI hizi mbili muhimu kila kukicha. JUA HAKI YAKO ILI UWE MTANZANIA BORA NA TETEA KATIBA YA NCHI YAKO



Katiba yetu ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ya 1977, ibara ya 18 inayotoa haki ya uhuru wa maoni, inasema:

(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwana maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wamawasiliano yake kutoingiliwa kati.

(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii".

No comments: