Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Wednesday, September 18, 2013

MKUTANO WA VYAMA VYOTE 21/09/2013, JUMAMOSI


Karibuni Watanzania wote kwenye Mkutano Mkubwa wa Muungano wa Vyama vyote Upinzani siku ya Jumamosi tarehe 21/09/2013 katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es salaam kuanzia saa 6:00 Mchana. 

Mkutano huo utatanguliwa na Maandamano ya amani yatakayoanzia Tazara hadi Uwanjani saa tatu asubuhi.

Mada kuu ni Katiba Mpya. Viongozi wakuu wa vyama pamoja na wataalam wa Katiba na sheria hapa nchini watatoa mada kwa Watanzania wote.

Siku ya Jumapili tarehe 22/09/2013 Mkutano Mkubwa utafanyika Unguja.

Tunatarajia kuwarushia matangazo hayo kwa njia ya Online radio tutawapa link baadae pia tutawapa Live updates kupitia mitandao yote ya kijamii. Karibuni sana.

KATIBA NI YA WATANZANIA WOTE


No comments: