Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Tuesday, June 18, 2013

Breaking News: Mbunge Sugu apata ajari akiwa njiani kuelekea Arusha


Mbunge wa Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi amepata ajari maeneo ya kasheki wilayani  Hanan’g akielekea Arusha.

Mh. Mbilinyi alikuwa anaelekea kuungana na wabunge wengine wa CHADEMA kwenye kuwaaga marehemu waliopoteza maisha siku ya Jumamosi kwenye mkutano wa kufungia kampeni za udiwani.

Habari njema ni kuwa katika ajari hiyo hakuna mtu yeyote aliye jeruhiwa na mbunge Sugu yupo salama. Ila gari la Sugu limeharibiwa vibaya baada ya kugongana na basi la abiria.  

Thechoicetz

No comments: