Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Sunday, May 19, 2013

Ushauri wa Msigwa ulipuuzwa.

Wiki iliyopita Mh. Peter Msigwa aliongelea tatizo la Wamachinga wa Iringa.

Alishauri yafuatayo:

1. Serikali ifanye mpango wa kuongea na wamachinga na kupata suluhisho la pamoja. Anasema kuwa Mwanza, Mbeya na Moshi wakuu wa Mikoa walikuwa tayari kuongea na wamachinga wa huko na tatizo lao likatatatuliwa.

2. Alionya juu ya kutumia nguvu za polisi kama suluhisho la suala hili, kwa kuwa hawa ni wananchi wenye shida inayohitaji kutatuliwa, hivyo ni busara wasikilizwe kuliko kutishwa na kuletewa polisi.

3. Alionya kuwa Polisi wanapotumika kuzuia sauti za wamachinga, wanatengeneza mazingira ya wananchi kuchukia serikali yao na kuona inawakandamiza.

Angalia zaidi video hii


No comments: