Hakimu Devota Msofe wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ameahirisha shauri la kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), kwa tuhuma za uchochezi hadi Julai 2, 2013 kesi hiyo itakapotajwa tena na shauri hilo kuanza kusikilizwa upelelezi ukiwa umekamilika.




1 comment:
Hawa watu wanapotezea watu muda
Post a Comment