Zaidi ya wananchi 1500 ambao ni wakulima wa mpunga katika kata ya Utulo wilayani Mabarali mkoani Mbeya mwaka huu watashindwa mahali pa kuhifadhi mazao yao katika mfumo wa stakabadhi gharani baada ya uongozi wa kijiji cha Utulo kutumia nguvu kuhujumu ghala la wananchi na kumpangisha mtu mmoja kwa manufaa binafsi
No comments:
Post a Comment