Sasa
kuna kila dalili CCM imejiandalia Kifo Zanzibari. Yule shujaa wa mamlaka kamili ya zanzibar na anayeweza kuthubutu kusema hapana huyu
hapa mchana huu hana wasiwasi kwa sababu kwake yeye Zanzibar ni zaidi ya nafasi ya
uwakilishi. Mambo yote Jumamosi ukumbi wa Bwawani asiwe na mwana aweke
jiwe ni Monsour Himid na Ismail Jussa Ladhu Kunguruma. Wahenga walisema sikio la kufa halisikii Dawa maamuzi ya
Dodoma ni msiba kwa CCM Zanzibari
No comments:
Post a Comment