Mkutano
wa Maoni ya Katiba mpya ulianzaa mida ya Saa nne asubuhi katika uwanja wa mpira
mjimwema stendi,
Watu
wamepata fursa ya kuchangia maoni ya Katiba na kuuliza maswali ama ufafanuzi,
Vile
vile Dr amewaeleza makutano kile chadema tunachotaka kiwemo kwenye katiba,
Maoni
ya wananchi:
1)
Wamependekeza suala la Ardhi litolewe mikononi mwa rais na liundiwe chombo
maalumu kitakachoundwa na bunge,
2)
Matibabu liwe ni haki ya kila mtanzania,
3)
Madaraka ya Rais yapunguzwe,
4)
Suala la elimu liwe ni haki ya kira raia na iwe elimu bora na ya BURE kuanzia
chekechea mpaka chuo kikuu,
5)....
6)....
7)...
Mkutano
umemalizika salama saa sita mchana, na Helkopta ya Mh Dr Slaa ndio imepaa mida
hii kuelekea Segerea. Watu
walihudhuria wengi sana,
Kivutio
cha huzuni ya furaha nipale alipomaliza kuhutubia nakuanza kutoka ambapo kila
mmoja alitaka angalau tu kumgusa mkono, lakini wakashindwa kumfikia na kuanza
kububujikwa na machozi ya furaha,
Wanakigamboni
tunawashukuru sana kwakuhuduria kwenu,
Pipoooooooooz
Pawaaaaaaaaa!
Yericko Nyerere/JF
No comments:
Post a Comment