Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Thursday, August 15, 2013

CHADEMA YATOA ELIMU YA KATIBA KWA WANANCHI

CHADEMA imekuwa ikifanya mikutano ya hadharani nchini kuzungumzia mchakato wa katiba. Wamekuwa wakitoa elimu na kuwaeleza wananchi umuhimu wa kazi hiyo kwa taifa.


Kamanda wa anga Mh. Freeman Mbowe amesema katiba mya inahitaji busara na hekima

Wananchi wa Arusha wakipokea neno la katiba kwa umakini

Mh. Mabere Malando akitoa elimu ya katiba mpya kwa  wananchi Arusha
Dr.Slaa akichukua mawazo ya wananchi na kutoa elimu ya katiba Arusha 

No comments: