CHADEMA imekuwa ikifanya mikutano ya hadharani nchini
kuzungumzia mchakato wa katiba. Wamekuwa wakitoa elimu na kuwaeleza wananchi
umuhimu wa kazi hiyo kwa taifa.
![]() |
Kamanda wa anga Mh. Freeman Mbowe amesema katiba mya inahitaji busara na hekima |
![]() |
Wananchi wa Arusha wakipokea neno la katiba kwa umakini |
![]() | |
|
![]() |
Dr.Slaa akichukua mawazo ya wananchi na kutoa elimu ya katiba Arusha |
No comments:
Post a Comment