Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Friday, November 21, 2014

NIMROD MKONO ALISHWA SUMU, ILIKUWA AFE NDANI YA MASAA 72


Mbunge wa Musoma vijijini Nimrod Mkono amelishwa sumu ambayo ilibidi imuue ndani ya masaa 72. Siku mbili baada ya kufika London, Uingereza kwa shughuri za kibunge na wenzake Mh. Mkono alidondoka na kuwahishwa hospitali. kabla ya kudondoka Mh. mkono alikuwa akitoka jasho jingi sana. Baada ya kufika kwa dactari; dactari amesema sumu hiyo ilikuwa ina teketeza figo zake.

Awali ya hapo Mkono alipewa tahadhari na watu wake wa karibu kuwa muuangarifu na safari yake na hoteli ambazo ameandaliwa kwenye safari hiyo. 

Mkono alikuwa mshauri mkuu kwenye kesi ya Tanesco na Serikali dhidi ya IPTL. inaaminika kwa wengi kuwa Mh. Mkono ndio aliye vujisha kashfa ya ESCROW

The Citizen

No comments: