Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Wednesday, November 12, 2014

Mbowe: Serikali inapuuza wakulima


Serikali imetakiwa kutatua matatizo ya wakulima nchini Tanzania  kwa kuwatafutia masoko ya uhakika ya mazao  ili kuepuka malalamiko yao kila kona ya nchi. Hayo yalisemwa  wilayani Sikonge, mkoani Tabora na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, alipokuwa akihitimisha ziara yake ya siku nne ya ‘operesheni Delete CCM’ (ODC). Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kuwahamasisha wananchi kujitokeza na kujiandikisha kwa wingi na kuchagua upinzani katika chaguzi wa serikali za mitaa na kuikataa Katiba iliyopendekezwa.

“Wakulima wa tumbaku wanalia, wakulima wa mpuga wanalia, wakulima wa kahawa wanalia huku serikali ikitoa vibali kwa wafanyabiashara wakubwa kuagiza bidhaa kutoka nje badala ya kuwatafutia wakulima wao mazao ya uhakika,” alisema Mbowe


Nipashe

No comments: