Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Tuesday, January 21, 2014

CHADEMA: Samwel Shamy awezesha harambee, madaftari 1800, vitabu 200 na computer 10

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Ndg. Samwel Shamy amefanikiwa kufanyisha harambee ya kukusanya vifaa vya elimu kwa wanafunzi wasio jiweza. Ngd Shamy alifanikiwa kukusanya Computer kumi (10), vitabu mia mbili (200), na madaftari alfu moja mia nane (1800). Pichani Ndg. Shamy akiongea na waandihi wa habari na kukabidhi vifaa hivyo kwa mkuu wa Wilaya Meru Ndg. Munase
Ndg. Samwel Shami akiongea na waandishi wa habari
Ndg. Samweli Shami akimkabidhi mkuu wa wilaya ya Arumeru vifaa vya shule

Ndg. Samwel Shamy akiongea na waandishi wa habari

No comments: