Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Sunday, January 12, 2014

ALLY BANANGA APITISHWA KUIPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA KATA YA SOMBETINI-ARUSHA MJINI

Chama Cha Demokrasia na maendeleo Chadema (CHADEMA) kilikuwa na kazi ya kutafuta kamanda atakaye peperusha bendera yake katika uchaguzi wa udiwani katika kata ya Sombetini.


Hatimaye amepatikana ndugu Ally Bananga, katika mchakato huo ambapo walijitokeza makamanda 6 na Ally Banaga alifanikiwa kushinda kwa 57%. Aliye mfuatia alipata asilimia 32%, wawili walifungana kwa asilimia 4% na wengine wa mwisho walifungana kwa asilimia 1.5%.

 Ngdugu Noel akitangaza matokeo

Ndugu Ally Bananga akiomba kura za Ndiyo

Ndugu Abdi Madava akiomba kura za Ndiyo

Makamanda wakisubiria matokeo kwa shahuku kubwa

Wagommbea katika picha Ya pamoja baada ya kumaliza kuomba kura za ndio kwa Makamanda wao
 Kura zikihesabiwa
Wagombea wakipongezana na kukuballiana na matokeo


Habari: CHADEMA Kanda ya Kaskazini blog

No comments: