Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Saturday, September 28, 2013

NEWSFEED FROM DR. SLAA'S U. S. A., TOUR‏


Mwaka 1978, maelfu ya watanzania walijeruiwa na kufa katika vita vya Kageroa wakijaribu kuilinda Tanzania. Hawa mashujaa HADI wa leo wengi wao wametelekezwa na serikali ya CCM. Wanaoshiriki kutunza amani chini ya umoja wa mataifa nao udhulimiwa haki zao mafao yao yanapoletwa nchini chini ya usimamizi wa CCM. 

Chini ya utawala wa CHADEMA; huluma zinazoendelezwa na serikali ya kidhalimu ya CCM zitafikia tamati

. Dr. Slaa yuko Marekani katika ziara maalum ya kujifunza inayoitwa "Vision Tanzania" itakayomuwezesha kujifunza mambo mbali mbali kwa manufaa ya watanzania.

 Dr. Slaa anaamini kwamba Tanzania ina uwezo wa kuwahudumia wananchi wake pamoja na wanajeshi wake ikiwa nchi itatumia rasimali zake kwa manufaa ya nchi na siyo kwa ajili ya wachache. 

Dr. Slaa anaamini kwamba Tanzania inahitaji Serikali ya wananchi na siyo serikali ya watawala. 

Dr. Slaa kwa unyenyekevu alikubali mwaliko kuwatembelea majeruhi katika hospitali kubwa ya kijeshi jijini Bethesda, Maryland, U. S. A., ambako alikula chakula cha mchana na majeruhi mbali mbali kutoka Vitani Afghanistan

. Bila shaka,hii ni safari ya kihistoria. Dr. Slaa anawaomba waTanzania wajitayarishie mabadiliko.  Anawaomba vijana wote wame mstari wa mbele kusambaza habari njema za mabadiliko ili kumn'goa adui wa mtanzania CCM ! mama wa ufisadi.





No comments: