Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Saturday, September 14, 2013

China kuisaidia CCM kwa 100%


Balozi wa China, Dr. Lu Youqinq, nchini Tanzania ametamka kwenye mkutano wa CCM uliofanyika Shinyanga kuwa China itaisaidia CCM katika mambo yake yote kwa asilimia 100.

Hayo yalitamkwa na balozi wa china huko Shinyanga kwenye mikutano ya CCM chini ya katibu mkuu Abraham Kinana na naibu wake nape Nauye.

Balozi, Dr. Lu Youqinq,  China akiwa kwenye kutano wa Magamba, Shinyanga


My take: China imeshachukua kadi ya CCM kitu ambacho kinakinzana na miiko ya ubalozi.

No comments: