Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Monday, July 22, 2013

BAVICHA mwenyeji mkutano wa IYDU


BARAZA la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA), linatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Bodi ya Umoja wa Vyama vya Demokrasia Duniani (IYDU), utakaofanyika kuanzia Julai 25 hadi 30, jijini Dar es Salaam.



Akizungumza na waandishi wa habari jijini mwishoni mwa wiki, Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deogratias Munishi, alisema mkutano huo utafunguliwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa na utafungwa na Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe.



Alisema IYDU inayoundwa na mataifa 81, katika historia Tanzania inakuwa nchi ya kwanza kuwa mwenyeji wa mkutano huo kwa nchi za Afrika zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara.

No comments: