Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Saturday, April 13, 2013

MH. MNYIKA ANATOA SHUKRANI KUFUNGA SHUGHURI YA UZINDUZI KANDA YA PWANI


Mh. John Mnyika ndio anatoa neon la shukrani ili kufunga shughuli hii. Anasema wote watakaotaka kwenda Kibaha kwa Magari yao binafsi wafike Makao Mkuu saa sita mchana kwa ajili ya kuanza msafara wa kuelekea Kibaha. Watakaoenda kwa Mabasi kituo kitakuwa kwenye daraja la mpaka wa Kibaha na Dar es salaam. Mkutano utaanza rasmi saa 9 kamili. Wote mnakaribishwa. Anasema watu wajiandae pia kuchangia harakati hizi hiyo kesho pale Uwanjani. 

Anamkabidhi Mh. Mabere Marando nyaraka zote za Kanda kama ishara ya kumkabidhi rasmi uongozi wa Kanda hiyo. Marando ndio anatoa neon la mwisho la kufunga Kongamano hili. Anamshukuru M/kiti na Viongozi wengine kwa kuwateua. Anamkaribisha M/kiti Taifa ili afunge Kongamano Rasmi. Mbowe ndio anaongea sasa


No comments: