Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Leticia Nyerere, akihojiwa na mwanaharakati wa Changamoto yetu Mubelwa Bandio
Yeye ni Mjumbe wa kamati ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Katika mahojiano haya, Mhe. Nyerere amezungumzia mambo mengi ikiwemo
1: Historia ya maisha yake
2: Wajibu wa mbunge wa viti maalum
3:Ushirikiano wa wabunge wanawake katika kumkomboa mwanamke
4: Utata wa uraia wa nchi mbili
Na mengine mengi tu karibu uungane nasi
Source: Shatry E. & Bandio M. (March 2013). Mahojiano: Mbunge wa viti maalumu, Leticia Nyerere, CHADEMA na Jamii production. Jamii Production. DMV. Retrieved from Swahilivilla
No comments:
Post a Comment