Dr. Slaa anawasalimu wananchi hapa ili amkaribishe M/kiti. Slaa anasema Magaidi jana wameonekana Bungeni. Anasema CHADEMA wako Makini kuliko serikali ya CCM, kuliko Usalama wa Taifa, Kuliko CCM wenyewe na umakini huo ndio utakaoiingiza CHADEMA madarakani. Anasema Serikali ndio inafadhili ugaidi na ndio magaidi wenyewe na kama si hivyo wasingempeleka Ofisa wake chumba namba 334 kumhonga ili atengeneze ushahidi wa kesi ya Lwakatare. Anasema wanazo taarifa zote muhimu kuhusu mambo serikali inayopanga dhidi ya CHADEMA. Amemkaribisha M/kiti Taifa nae ndio anatoa hotuba yake!
No comments:
Post a Comment