Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Monday, February 17, 2014

MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA KALENGA WAZUIWA NA POLISI IRINGA

 Mgombea  ubunge wa  Chadema Kalenga, Grace Tendega baada ya  kuruhusiwa  gari lake kupita 
 Hapa  polisi  wakimtazama  mgombea  huyo akipita  mbele yao

 Polisi mkoani Iringa wakiwa  wameuzuia msafara  wa mgombea  ubunge jimbo la Kalenga,  Bi Grace Tendega kupitia Chadema kwa madai  hawakuwa na kibali cha kufanya  maandamano  hayo ya magari  hapa  ni eneo la lango la mji Samora ambapo msafara huo  ulikuwa ukitokea maeneo ya Ndiuka kuelekea kwa msimamizi wa uchaguzi  ili kuchukua fomu.


Jamvi La Habari

No comments: