Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Sunday, February 9, 2014

BREAKING NEWS: Godbless Lema apigwa na kuumizwa vibaya na polisi Arusha

Mbunge wa arusha mini, Godbless Lema amepigwa vibaya na jeshi la polisi bila sababu baada ya kufika kwenye kituo kwa lengo la kuangalia zoezi la kuhesabu kura linavyo endelea, lakini chakushangaza baada tu ya kushuka kwenye pikipiki alirukiwa na askari polisi na kupigwa vibaya na kuumizwa mguu na tumbo na kumtupa kwenye mtaro wa maji machafu kwasasa analia kwa uchungu mkubwa.

Amechukuliwa na kukimbizwa hospitali.

Na vijana wa Arusha wamekasirika sana na chochote chaweza tokea mana wamejikusanya kwa makundi makubwa


No comments: