Kitendo
cha Bunge kujadili na kupitisha muswada wa marekebisho ya sharia ya mabadiliko
ya katiba bila kuwa na akidi (quorum) kamili kwa maana ya idadi ya wabunge ni
batili. Ilipaswa wabunge wasio chini ya 175 ( nusu) kwa mujibu wa kanuni ya 77
na vipengele vyake.
Kwa kifupi, maamuzi ya leo bungeni hayakuwa halali.
Wabunge walio kuwepo ukumbini walikuwa 106 tu. Huu ni uchakachuaji wa hali ya
juu.
Facebook wall: Josh Nassari (Arumeru mashariki)
No comments:
Post a Comment