Wabunge wa Kambi ya
Upinzani wametoka nje baada Naibu spika kushindwa kutolea ufumbuzi hoja za
upinzani na kutaka kuwaburuza baada ya kusimama Tundu Lisu kuuliza muongozo
kuhusu kuleta mswaada bila kuwahusisha Zanzibar huku Tanganyika wakihusishwa! Naibu
spika akatumia nguvu ya kiti cha spika kumzuia asiongee ndipo upinzani kutoka
nje! Kuna kila dalili ya kwamba CCM WANATAKA KUHARIBU MCHAKATO HUU.
No comments:
Post a Comment