Ndugu
waTanzania wa Washington D.C., Marekan, na vitongoji vyake.
Tunapenda
kuwakaribisha katika mjadala wa Katiba mpya ya Tanzania utakaofanyika siku ya
Jumamosi (24/8/13) kuanzia saa tisa kamili alasiri mpaka saa kumi na mbili
jioni.
Mjadala
huu utakaorekodiwa kwenye video utasambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari
pamoja na ofisi husika.
WAHUSIKA
WANAOTARAJIWA KUSHIRIKI NI:
1:
Wawakilishi wa matawi ya vyama vya siasa (CCM, CUF, CHADEMA)
2:
Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za waTanzania
3:
Wananchi wote watakaohudhuria kuchangia na kuuliza maswali.
Anwani
ni;
3621
Campus Drive
College
Park, MD 20740
Tafadhali....JIANDAE
na Usikose kuhudhuria na kutoa mchango wako ili kufanikisha kupata katiba
itakayotufaa sote.
No comments:
Post a Comment