"Mlionishauri
kwamba Mume wangu Henry akitoka nimshauri aache siasa, naomba niwaambie kwamba
nimem join Mume wangu kwenye Siasa. pipooooooooooz"
Hayo ni maneno ya Joyce Kiria mke wa kada wa CDM Kilewo leo hii
baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi waliyokuwa wakituhumiwa pamoja na
wanachama wengine!
No comments:
Post a Comment