Chama cha Demokrasia na
Maendeleo kata ya Usariver kimepata msiba baada aliyekuwa mjumbe mkutano mkuu
wilaya Meru CHADEMA kutoka kata ya Usariver ndugu Privatus Mahabusi amefariki
dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Seliani baada ya kutapika damu
ghafla.
Habari
mwenyekiti CHADEMA kata ya Usariver
No comments:
Post a Comment