Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora

Wasiliana nasi : chademadiaspora@gmail.com -Fair and Balanced Platform- Twitter @ChademaDiaspora
----------------------WE THANK AND APPRECIATE YOU FOR VISITING CHADEMA DIASPORA BLOG. AGAIN, THANK YOU!-----------------------

Saturday, March 2, 2013

UZINDUZI CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI KUFANYIKA MARCH 8, TABORA


Taarifa rasmi ni kuwa kutokana na mabadiliko ya ratiba ya kutofanyika mkutano wa uzinduzi kanda ya Magharibi wiki iliyopita sasa mkutano huo unatarajiwa kufanyika wiki ijayo March 8 hapa mkoani Tabora.

Mkutano huu utaongozwa na wabunge pamoja na viongozi wa kitaifa ambao ni mh. Mbowe (m/kiti taifa),Mh. Kabwe (mbunge Kigoma kaskazini), Mh. Said Arfi (mbunge Mpanda Kati) na wabunge wengine wa viti maalum CHADEMA,viongozi wa mkoa,wilaya na makamanda wote wa mkoa huu.

"wakati wa Tabora kutoitwa ngome na dampo la kura za CCM umefika.Viongozi wanaofanya kazi za kung'ang'ania milingonti ya bendera na kuacha kazi za kimaendeleo walizotumwa na wananchi wanapaswa kuadhibiwa na kulaaniwa vikali,haya yalifanyika Dodoma chini ya mbunge wa Tabora Mjini"

"Popote alipo Nabii (CHADEMA) wale walio waovu hushikwa na wasiwasi(CCM) watoto zaidi ya laki tatu wako mitaani,serikali inashauri isilaumiwe,kweli tutafika?

No comments: