Mbunge
wa viti maalumu (CHADEMA), Mhe Leticia Nyerere akipata ufafanuzi
kutoka kwa mtaalamu wa senate kitengo cha mambo ya nje, Tamara Klajn jinsi
mabunge mawili yanavyo fanya kazi nchini Marekani
|
Mbunge
wa viti maalumu (CHADEMA), Mhe Leticia Nyerere akiendelea kupata
maelezo namna mabunge mawili yanavyo fanya kazi huku Liberatus Mwang'ombe
akinukuu mazungumzo yao
|
Mh.
Leticia Nyerere na Mtaalamu wa senate mambo ya nje, Tamara Klajn wakimsikiliza
kwa makini mwanasiasa wa Marekani, Rick Tingling, akielezea historia
ya mabunge mawili
|
Mhe
Leticia Nyerere akipata picha ya pamoja baada ya mazungumzo kwenye bunge la
senate
|
No comments:
Post a Comment