MUHIMU: Tahadhari kuna mtu amefungua akaunti kwa jina langu na picha ambayo si halali na tayari anafanya mawasiliano na kuandika vitu mbalimbali. Ifahamike wazi katika Facebook nina akaunti hii tu: John mnyika na fan page: John Mnyika na upande wa Twitter akaunti yangu ni: @jjmnyika pia; @TeamJohnMnyika na @TeamUbungo ambazo zipo chini ya Ofisi yangu! na blogu ni: www.mnyika.blogspot.com
Kwa wale ambao wanaona wanashindwa kuwa friends katika akaunti yangu kwasababu ya kufika ukomo basi nawaomba mjiunge na fan page yangu kwa kupitia link hii: John Mnyika na si akaunti nyingine! Naomba tuchukue tahadhari kwa mawasiliano yoyote nje ya akaunti hizo tajwa.
Asanteni na naomba radhi kwa kadhia au usumbufu wowote uliotokea kwa yeyote kutokana na akaunti feki zilizofunguliwa kwa jina langu.
No comments:
Post a Comment